PlaneteAfrique
Déconnexion

WS-Apps, Le système de gestion de contenu adaptatif développé depuis 15 ans est conçu pour sa puissance son efficacité et sa simplicité. WS-MySite! pour votre présence web immédiate, WS-Webzine pour vos publications, Ws-Ecommerce pour votre business.

Kiwango cha ufundishaji kikwazo kiwango cha ufaulu wanafunzi Mbeya

Publié le 12/24/2012
Kiwango cha ufundishaji kikwazo kiwango cha ufaulu wanafunzi Mbeya

Mkuu wa mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro amesema licha ya wadau mbalimbali kuendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na serikali kumaliza tatizo la uhaba wa vitabu katika shule za msingi na sekondari, bado kiwango cha ufundishaji kinadaiwa kushuka mkoani humo.



Akitoa rasmi ripoti maalum ya utafiti uliofanywa na Idara ya elimu mkoani humo katika kikao cha baraza la madiwani wa halmashauri ya jiji la Mbeya kwamba uhaba wa vitabu halijawa tatizo mkoani humo kwa sasa, badala yake kiwango cha ufundishaji kwa walimu ndo limekuwa ni tatizo kubwa ambalo linatafutiwa ufumbuzi.



Kampuni ya Ununuzi wa Kokoa ya Bioland imetoa msaada wa vitabu vya kiada kwa wanafunzi wa shule kadhaa wilayani Kyela na Rungwe ikiwa ni jitihada za kuunga mkono kupunguza ama kumaliza kabisa tatizo la uhaba wa vitabu shuleni.



Hosea Cheyo, TBC Mbeya.




Last Updated ( Monday, 24 December 2012 13:16 )


 

TANZANIE - accès rapides

Actualités par pays

 

Newsletter


 
 
 
 
 
 

Actualités par pays

Newsletter


 
 
 
 
 

Pub GOOGLE

Tanzanie - Actualites