PlaneteAfrique
Déconnexion

WS-Apps, Le système de gestion de contenu adaptatif développé depuis 15 ans est conçu pour sa puissance son efficacité et sa simplicité. WS-MySite! pour votre présence web immédiate, WS-Webzine pour vos publications, Ws-Ecommerce pour votre business.

Polisi Tabora yasaka wapuuza usalama barabarani

Publié le 7/1/2013
 Polisi Tabora yasaka wapuuza usalama barabarani

Kutokana na ongezeko la ajali za barabarani zinazosababishwa na Wapanda baiskeli na Waendesha Pikipiki, Polisi mkoani Tabora imeanza oparesheni maalum ya kuwakamata watu wote wanaokiuka sheria za usalama barabarani.



Oparesheni hiyo inaenda sambamba na kutoa elimu ya sheria za usalama barabarani kwa Wapanda baiskeli, Waendesha Pikipiki na magari kwa lengo la kupunguza ajali za barabarani zinazosababisha vifo, ulemavu na uharibifu wa mali.



Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora Kamishna msaidizi Peter Ouma amesema zoezi hilo ni endelevu mpaka hapo watakapojiridhisha kuwa hali ni shwari.



Nico Mwaibale, TBC Tabora.




Last Updated ( Friday, 21 June 2013 09:23 )


 


TANZANIE - accès rapides

Actualités par pays

 

Newsletter


 
 
 
 
 
 

Actualités par pays

Newsletter


 
 
 
 
 

Pub GOOGLE

Tanzanie - Actualites