PlaneteAfrique
Déconnexion

WS-Apps, Le système de gestion de contenu adaptatif développé depuis 15 ans est conçu pour sa puissance son efficacité et sa simplicité. WS-MySite! pour votre présence web immédiate, WS-Webzine pour vos publications, Ws-Ecommerce pour votre business.

Nape ashauri vyama vinavyovunja amani vifungiwe

Publié le 4/9/2013
Nape ashauri vyama vinavyovunja amani vifungiwe

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi - CCM itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amemtaka msajili wa vyama vya siasa nchini John Tendwa kuvichukulia hatua za kisheria vyama vyenye usajili wa kudumu ambavyo  vimekuwa vikisababisha uvunjifu wa amani.



Nnauye ameyasema hayo katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya Njoro mkoani Kilimanjaro na kuongeza kuwa CCM haitavumilia kuona operesheni mbalimbali za vyama vya siasa hapa nchini zikiendeshwa bila kufuata taratibu.



Sauda Shimbo, TBC Kilimanjaro.




Last Updated ( Monday, 08 April 2013 11:26 )


 


TANZANIE - accès rapides

Actualités par pays

 

Newsletter


 
 
 
 
 
 

Actualités par pays

Newsletter


 
 
 
 
 

Pub GOOGLE

Tanzanie - Actualites